Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Nay ni shabiki wangu kwenye status' - Ali Kiba

Ijumaa , 13th Dec , 2019

Mfalme wa BongoFleva Ali Kiba, amemtaja msanii Nay wa Mitego, kama shabiki yake namba moja kwenye upande wa kuangalia picha na video anazoweka kwenye mtandao wa Whatsapp.

Wasanii wa Muziki Bongo, Ali Kiba na Nay wa Mitego.

Ali Kiba amesema hilo kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, wakati anatambulisha wimbo mpya wa msanii wake Killy kutoka kundi la Kings Music, uitwao Gubu, ambapo aliulizwa kuhusu uwezekano wa Nay wa Mitego kuwepo kwenye tour yake ya AliKibaUnforgettable Tour kwa Mkoa unaofuata.

"Kwa bahati nzuri Nay huwa nachati naye kila wakati, yaani katika mashabiki zangu wanaopenda  kuangalia status yeye namba moja, huwa tunawasiliana sana akipata nafasi huwa ananicheki na vilevile tumelizungumza hilo suala, lakini ratiba zake kidogo zimebana kwenye safari ya Iringa, ila safari ijayo atatia mguu" ameeleza Ali Kiba.

  Aidha Ali Kiba ametangaza Mkoa wa Iringa, kama ndiyo utafuata kwenye kufanya ziara yake ya kimuziki na kwamba safari hii msanii Christian Bella ni miongoni mwa wasanii watakaoenda kushambulia jukwaa mkoani humo

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa