Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nay Wa Mitego ataja sababu za Roma kukimbia TZ

Jumapili , 21st Jun , 2020

Kupitia mtandao wa Instagram Nay Wa Mitego amemchana Roma Mkatoliki baada ku-comment kwenye wimbo wake wa Mungu Yuko Wapi, kwenye post hiyo Nay amesema Roma anajitoa ufahamu, ametaja sababu za Roma kukumbia Tanzania, pia amemshauri arejee kwani kuwa watu wanaweza kutembea na mke wake.

Msanii Nay Wa Mitego upande wa kushoto, kulia ni Roma Mkatoliki

"Mpendwa Roma Mkatoliki wewe ni mshkaji wangu ila kuna wakati nadhani unajitoa ufahamu sijui, kwamba wewe unaimba nyimbo ambazo Bi mkubwa akisikia wala hawezi kupanic wala kupanikishwa na watu baada ya wimbo kuzua mijadala, kwanza umekimbia nchini kwa sababu ya wimbo wa "Naitwa Roma".

"Kipindi ulivyotekwa mimi binafsi sikulala siku mbili tulikua tunashinda polisi Osterbay, Mama Roma alisema hataki tena uimbe muziki, ukiwa unanishauri muda mwingine usijifanye wewe ni mlokole kama unaimba Gospel, kuhusu huu wimbo wa Mungu yuko wapi wala hukutakiwa kutia neno coz wewe ni mwana sana

"Nikushauri tu mwanangu fanya urudi watu watapita na mkeo, hakuna mwanamke anayeweza kuvumilia kukaa mwaka mzima bila ya kujamiiana, hao wanawake walishakufaga enzi za mababu zetu, kama una mpenda mkeo na watoto fanya urudi hakuna mtu wakukukamata mambo ya wimbo yalishapita" ameandika Nay Wa Mitego 

 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa