Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Neno la Odama kwa wadangaji wa BongoMovie

Ijumaa , 20th Mar , 2020

Moja kati ya tasnia ambayo inaongoza kwa kutuhumiwa na ishu za udangaji ni BongoMovie, lakini muigizaji Odama amesema hiyo ni tabia ya mtu binafsi, siyo lazima awe maarufu au atokee kwenye tasnia yao.

Msanii wa filamu Odama

Odama amefunguka hayo kwenye show ya eNewz ya East Africa TV, ambayo inaruka siku ya Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia 12:00 hadi 12: 30 jioni, ambapo amesema

"Mimi naamini kila mtu ana tabia yake, kabla hata hujaingia katika kazi ambayo sisi tunaifanya kila mtu huingia na tabia yake aliyokua nayo, kwahiyo wale wote ambao wamegeuka kuwa na tabia ya kudanga, basi huo ndiyo uhalisia wao tangu zamani na wote wenye tabia nzuri hawajabadilika" ameeleza Odama.

Msanii huyo wa filamu ameendelea kusema "BongoMovie haichangii watu kudanga ili kuonekana maisha yao yapo juu, inawezekana hata mtu asiwe na jina, ustaa, umaarufu lakini ukadanga  wanaodanga wote kwenye filamu walikuwa wanataka wapate nafasi ili waonekane wafanye mambo yao" ameongeza.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi