Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Nilijua tu singeli itakufa "- Msaga Sumu

Jumatatu , 17th Jul , 2017

Msaga Sumu amefunguka na kusema alitambua mapema kwamba aina ya muziki wanaofanya utakufa mapema kwani wasanii wake hawana ushirikiano.

Akizungumza na Stori tatu ya Planet Bongo, Msaga Sumu amesema kwamba wasanii wachanga waliokuja kuibuka hivi karibuni ndio chanzo cha kupelekea singeli kupotea kwani walianza kutengeneza mabifu wao kwao badala ya kuboresha kazi.

"Nilijua muziki wa Singeli utakufa kwa sababu hatukuwa na ushirikiano, wenzetu wa bongo fleva wamefanikiwa sana mpaka wamejijengea majina makubwa ni kwa sababu wameweza kushikamana, Tatizo pia hawa watoto waliokuwa wametamba na nyimbo zao mbili mbili nao wakaanza kuwekeana mabifu na mwisho wa siku wamepotea wao walidhani wamemaliza", Msaga amesema.

Akizungumzia kwa upande wake kushindwa kuachia nyimbo mfululizo, Msaga Sumu amesema 

"Mimi niliacha kutoa nyimbo baada ya kuona tena kuna kuigana. Wasanii wanashindwa kuwa wabunifu kwa sababu na badala yake wote tukawa tunaonekana hatuna kitu chochote" aliongeza Msaga Sumu.

Msikilize hapa chini akifunguka zaidi.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari