Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Nimeolewa na mzungu ananizidi miaka 32"-Azzy

Jumamosi , 15th Feb , 2020

Mrembo Azzy Superstar amefunguka kusema hayupo kwenye mahusiano na mzungu mzee Wolf Rinner, kwa ajili ya kudanga au kutumia pesa zake japokuwa anahudumiwa na amepitwa uwezo wa kifedha na mzungu huyo.

[Picha ya Azzy Superstar akiwa na mumewe Wolf Rinner

Akiieleza EATV & EA Radio Digital, Azzy Superstar amesema kwa sasa yupo kwenye ndoa na Mzungu huyo huyo, mahusiano yao yalianza mwaka 2012, pia amezidiwa miaka 32.

"Sipo kwa ajili ya maslahi yangu binafsi huo ni mtazamo wa watu, halafu mimi sio mdangaji nilikuwa nafanya shughuli zangu ila huyu tu amekuja kuniongezea na ananihudumia kwa sababu ana uwezo wa kifedha zaidi yangu, kuna mambo mengine madogo madodgo nafanya kivyangu sihitaji msaada wake" ameeleza Azzy Superstar.

Aidha mrembo huyo ameendelea kusema,  "Kwenye umri amenizidi kwa miaka 32 na haikunipa shida yoyote kwa kutofautiana umri huo, kwenye mapenzi mimi naangalia upendo wa dhati kwanza, hata watu wangu wakaribu na wanaonifahamu walipoona nipo naye wakasema bora nikapumzike maana huko nyuma nimeshaumizwa sana" ameongeza.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa