Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nuh apinga mwanaye kuwa maarufu

Jumapili , 21st Mei , 2017

Msanii wa Bongo Flava, Nuh Mziwanda aka baba Anyagile anayetamba na ngoma yake ya 'Anameremeta', anatamani mwanae akiwa mkubwa asiwe maarufu bali awe mtu wa kawaida tu na wala asizuzuke na ustaa wa baba yake.

Nuh amekaririwa hivi karibuni akisema kuwa hatamani mwanaye Anya arithi aina yoyote ya maisha yake ikiwa ni pamoja kurithi kazi yae bali atajitahidi kumpatia elimu ili aweze kuwa msomi.

“Mwanangu najitahidi kumtengenezea mazingira tangu mwanzo yale ambayo yeye baadaye yasije yakamkarahisha au akajiona yupo tofauti na watoto wenzie, hicho kitu cha kwanza that is why sipendi kumpublish sana kwenye mitandao ya kijamii. Pia nataka awe msomi , sitegemei mwanangu aje kufanya muziki wa Bongo Flava au mwanangu sitaki arithi chochote kutoka kwangu hata lifestyle yangu sitaki arithi”- alisema Nuh.

Pamoja na hayo Nuh amefunguka kwamba “Hata kuchora tattoo sitopenda mwanangu aje achore kwa sababu naamini sio kitu kizuri ingawa mimi mwenyewe nimechora na zina maana kwangu lakini sitopenda mwanangu aje afanye hvyo"- Nuh alifunguka zaidi

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali