Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nuh Mziwanda adai kupelekwa kwa mganga na Shilole

Jumatatu , 9th Dec , 2019

Msanii na mtayarishaji wa muziki, Nuh Mziwanda, amefunguka madai ya kuchukuliwa nyota ya kimuziki na kimaisha, pamoja na suala la kupelekwa kwa mganga na aliyewahi kuwa mpenzi wake Shilole.

Msanii Shilole akiwa na Nuh Mziwanda.

Kupitia EATV & EA Radio Digital, Nuh Mziwanda, amewajibu mashabiki ambao wanadai amechukuliwa nyota yake na mpenzi wake huyo wa zamani kwa kusema, hajui kama amechukuliwa nyota yake ila anachojua alikuwa kimya kwa muda mrefu.

"Kama mashabiki wanahukumu hivyo ni sawa ila ukimya wangu nilikuwa bize narekodi, kufanya kazi, mimi naona nipo sawa nafanya mambo yangu kimpango wangu pia siamini katika vitu kama hivyo ila kama watu wanaamini sawa labda wao wanamjua yule bi Dada kama ni mchawi mchawi" amesema Nuh Mziwanda.

Aidha kupitia kipindi cha DADAZ ya East Africa Television, Nuh Mziwanda, ameeleza kuwa aliwahi kupelekwa kwa mganga na Shilole.

"Wakati naachia wimbo wa jike shupa aliniambia niende kwa mganga, ili nijue nyimbo gani kali naiachia baada ya jike shupa pia akamtumia rafiki yangu Beka ili anishawishi kwenda kwa mganga na nilivyokubali tu kesho yake asubuhi alinifata tukaingia kwenye gari akanipeleka kwa mganga Tanga" ameeleza. 

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi