Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

P Mawenge ataka kuzichapa ulingoni na Nikki Mbishi

Alhamisi , 14th Mei , 2020

Baada ya kupeana makavu "diss track" kwenye ngoma zao, P Mawenge amesema yupo tayari kuzichapa ulingoni na Nikki Mbishi kwa lengo la kutengeneza maslahi binafsi.

Wasanii wa HipHop kushoto ni P Mawenge kulia Nikki Mbishi

 

Wasanii hao wa HipHop wametrend sana kwenye mitandao ya kijamii, baada ya kuzungumziwa juu ya bifu lao ambalo kila mtu amemdiss mwenzake kwenye ngoma zao.

Akiieleza EATV & EA Radio Digital P Mawenge amesema "Nipo tayari na nipo vizuri, nafikiri watu wameshaanza kusogea juu ya jambo hilo na kuna harufu harufu fulani nimeanza kuisikia, ikikubalika itakuwa vizuri zaidi kwa sababu, mwisho wa siku tunafanya hivi ili kutafuta maslahi zaidi, nipo tayari na nanyoosha mtu tukienda raundi 5 zitatosha".

Aidha P Mawenge amesema bora Nikki Mbishi angemfuata au kumpigia simu kumwambia kama amekosea, kuliko kumchana kwenye wimbo kwamba baada ya kuomba collabo na msanii wa South Afrika Casper Nyovest, yeye kaomba picha.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali