![](http://www.eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/news/2024/02/26/peeteah.gif?itok=9fEI1el2×tamp=1708941397)
-
Akiwa na ndugu zake katika kundi la Morgan Heritage, Peter aliwahi kushinda tuzo ya Grammy kupitia albamu yao ya Strictly Roots katika kipengele cha Albamu Bora ya Reggae mwaka 2016.
-
Itakumbukwa pia Peetah kupitia kundi la Morgan Heritage aliwahi kufanya kazi na wasanii kama Diamond Platnumz na Harmonize wa hapa Tanzania.