Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Sijafulia' - PNC

Jumatano , 19th Jul , 2017

Msanii wa Bongo Fleva PNC amekanusha tuhuma za kukimbia mji na kuishi wilayani Mkuranga mkoani Pwani kwa lengo la kujificha asionekane baada ya watu kumwambia amefulia kimuziki. 

"Siyo kweli kwamba nilijificha Mkuranga, bali kule ni nyumbani kwetu. Watanzania wengi wanafikiria msanii akikaa kimya amefulia pasipo kujua wakati mwingine mtu anakuwa ameamua kutulia na kuna mambo mengine anayafanya" alisema msanii huyo alipozumza na eNewz ya EATV.

Hata hivyo msanii huyo amewataka watu kujua kukwama ni sehemu ya maisha na inaweza kumtokea mtu yoyote.

"Kukwama ni sehemu ya maisha inaweza kumtokea mtu yoyote. Mimi kuhusu kutoa nyimbo sikukwama kwani narekodi mara kwa mara ila video kidogo ndiyo nilikwama lakini nimerudi nitafanya kazi," alisema.

Hata hivyo PNC aliwahi kukaririwa akisema wasanii  wengi pamoja yeye wanakuwa wanashindwa kusonga mbele kwenye muziki kutokana na kukosa uongozi

 "Wasanii wengi tunayumba kutokana na kukosa uongozi mzuri, kwa sababu mimi naamini naweza kufanya kazi nzuri, natakiwa kupata uongozi ambao utaweza kusimamia kazi zangu nikaweza kupiga hatua kubwa zaidi kama watu wengine walivyoweza kupiga hatua , napata changamoto nyingi sana mimi siwezi kuusimamia muziki wangu wote nikaweza, nahitaji sapoti pamoja na ushauri", alisema PNC.

 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya