Jumatatu , 12th Dec , 2016

Mbunge wa jimbo la Chalinze na mtoto wa aliyekuwa Rais wa awamu ya nne wa Tanzania Mh. Jakaya Mrisho Kikwete. Mh. Ridhiwani Kikwete, ampongeza Gabo Zigamba kwa ushindi EATV AWARDS

Gabo (Kushoto) , Ridhiwani (Kulia)

Kwenye ukurasa wake wa instagram Ridhiwani ameyaandika haya kuhusu ushindi huo, huku akisema kilicho bora siku zote kinajulikana.

 

 

 

Tags: