Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rihanna na Drake tena!!

Jumamosi , 7th Sep , 2019

Ni takribani miaka mitatu imepita tangu tuipate Albamu ya Rihanna ya mwisho kutoka ilikuwa ni 'Anti' iliyokuwa na singo kali kama Work, Kiss It Better, Needed Me, Love On The Brain na nyingine nyingi.

Rihanna na Drake

Sasa huenda kabla mwaka huu haujaisha tunaweza kupata Albamu mpya. kutoka kwake mwezi ukitajwa ni Disemba katika tarehe za mwanzo inaweza ikaachiwa.

Hayo yametajwa na mkuu wa lebo ya Universal Music Group (UMG) nchini Ufaransa, Olivier Nusse katika ufunguzi wa tamasha la Open Session, lililofanyika Ijumaa ya tarehe 06 ambalo hufanyika kila mwaka nchini humo likisimamiwa na UMG.

Olivier alitaja orodha ya albamu ambazo zitaachiwa na Lebo hiyo kabla ya mwaka huu kuisha huku majina ya Rihanna na Drake  yakiwemo ndani.

Mwanzoni mwa mwaka huu Rihanna katika moja ya mahojiano alisema juu ya ujio wa albamu ambayo anatamani kuiachia lakini kuna vitu anaona havijakaa vizuri sababu anataka kuleta kitu cha utofauti.

"Sioni sababu ya kuileta haraka lakini nataka itoke, kwa ambapo nimefikia naona ni pazuri lakini kwa sasa jinsi nilivyo hata kama nitakosa muda wa kushuti video nitaachia albamu kwanza," aliongea.

Wasanii wengine wakali ukimtoa Rihanna na Drake ambao albamu zao zinatarajiwa kuachiwa mwaka huu kabla hujaisha ni Kanye West, Migos na The Weeknd.
 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa