Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rose Ndauka aeleza alivyotumika kwenye maisha yake

Jumanne , 28th Jan , 2020

Msanii wa filamu Rose Ndauka, amefunguka na kusema kipindi ambacho ametumika sana kwenye maisha yake ni pale alipokuwa kwenye umri wa ujana na ujinga "Foolish Age" ambapo alikuwa anapenda starehe kupitiliza.

Msanii wa filamu Rose Ndauka

Rose Ndauka amesema katika umri huo wa kijinga, ametumika sana kwa kwenda kwenye kumbi za starehe kuanzia Ijumaa hadi Jumapili.

"Muda ambao nahisi nimetumika ni ule wakati nakuwa na umri wa kijinga na ujana "Foolish Age" maana nilikuwa naenda club kuanzia Alhamisi hadi Jumapili, tena ilikuwa ni sababu ya marafiki ambao wamenizunguka ila nashukuru Mungu nimebadilika, sasa hivi naishi kwenye ndoto za maisha yangu" amesema Rose Ndauka.

Aidha Rose Ndauka amewachana wanawake ambao wanategemea kudanga ili kupata pesa kwenye maisha yao kwa kusema.

"Unaweza ukawa na sponsor "danga" kibao, lakini ukaishia kupiga picha za selfie hotelini, kula na kununua nywele lakini hautafanya kitu cha maana, ila mimi nimepambana mwenyewe hadi kufikia hapa kufungua ofisi yangu na kuajiri vijana wengine"

Rose Ndauka kwa sasa ni Mkurugenzi katika ofisi yake inayojishughulisha na masuala ya urembo.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali