Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ruby kuhusu Kukonda na kutumia dawa za kulevya

Jumapili , 24th Jun , 2018

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Ruby, amekanusha picha zilizokuwa zinasambaa kwenye mitandao ya kijamii zikimuonesha akiwa amekonda mpaka mbavu kuonekana kuwa sio zake, huku akidai maishani mwake hajawahi kunenepa mpaka awe amekonda kiasi hicho.

Rubby ametoa kauli hiyo wakati alipokuwa anazungumza kwenye kipindi cha 'FRIDAY NIGHT LIVE' inayorushwa mubashara kupitia EATV kila siku ya Ijumaa baada ya kuzagaa picha hizo na kuzua gumzo na kupelekea baadhi ya watu kumuhusisha mwanadada huyo na utumiaji wa vilevi vikali pamoja na matumizi ya dawa za kulevya ikiwemo bangi.

"Ile ni picha nasio Rubby halafu mnasema nimekonda kwani mlishawahi kuniona nimenenepa ?, haingii akilini kama vitu ambavyo vya negative wanavyoongea wakati mimi kazi ninafanya, ninaangalia mbele kwenye kazi zangu. Kazi yangu ndio inaongea lakini sio maneno ya watu. Mnaongelea mimi kuonekana mbavu zangu kwanini hamzungumzii kuonekana nina makalio makubwa", amesema Rubby.

Pamoja na hayo, Rubby ameendelea kwa kusema "ile picha ili kuwa imepigwa kwa pembeni angalieni video yangu niwaze ndio mtamuona Rubby nasio katika hizo picha, wawe wanaleta 'show' ili tunenepe".

Kwa upande mwingine, Rubby amesema kukaa kwake kimya kwa kipindi kirefu katika muziki alikuwa anataka kuja kivingine ili aweze kuwapa radha tofauti mashabiki zake wanaomfuatilia na kusikiliza kazi zake kila uchao.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri