Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Seyi Shay ataja orodha ya wanaume alio-date nao

Alhamisi , 1st Aug , 2019

Msanii wa kike kutokea nchini Nigeria Seyi Shay, amefunguka kuhusu idadi ya Wanaume ambao amewahi kuwa nao kwenye mahusiano ya kimapenzi.

Msanii huyo ambaye yupo nchini Tanzania kwa ajili ya Ziara ya kimuziki, amefunguka hayo kupitia EATV & EA Radio Digital wakati alipokuja kwenye kipindi cha 'DADAZ' ya East Africa Television,

"Nimepitia mahusiano na idadi ya Wanaume wengi ambao hawahesabiki na sasa nipo katika mipango ya ndoa. Napenda kuwa kwenye mahusiano na Mtu wa kawaida kwa sababu hawanipi mawazo, wanyenyekevu na watanipa muda wao wa kuwa na Mimi"

Pia msanii huyo amendelea kusema kuwa hapendi mahusiano na watu maarufu kwa sababu wana matatizo sana kama kutokujali na kupenda mashindano.

Baada ya wimbo wa 'Yanje' na Ommy Dimpoz, Msanii huyo amesema anataka kufanya kazi zingine na wasanii wa Afrika Mashariki kama Kaligraph Jones na H-art the band kutokea nchini Kenya, na pia ameshafanya kazi na Vanessa Mdee wimbo unaitwa Skata.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi