
msanii wa miondoko ya bongofleva Shantiver
Shantiver ameongea na eNewz kuhusiana na wajibu wa kijana kutambua kuwa kura yako ina thamani kubwa na pia ameifagilia kampeni hiyo ya ZamuYako2015 ya EATV ambayo hakika vijana wataendelea kuhamasishwa kupiga kura.
