Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sheikh Yahaya amtabiria Dimpoz makubwa

Alhamisi , 21st Feb , 2019

Mtoto wa mtabiri maarufu Tanzania, Maalim Hassan Sheikh Yahaya Hussein, ametoa utabiri wake juu ya msanii Ommy Dimpoz, na kusema kwamba msanii huyo atainuka tena kwa spidi kubwa ziadi, na kazi zake zitafanya vizuri.

Akizungumza na Big Chawa kwenye Planet  Bongo ya East Africa Radio, Maalim Yahaya amesema kwamba ingawa Ommy Dimpoz watu walishamkatia tamaa, lakini msanii huyo atawashangza wengi pale atakapoinuka, na wale wanaomsema vibaya hawataamini kitakachotokea.

“Ommy Dimpoz tena walikuwa wanamtabiria vibaya, ndio atakuja ataibuka vibaya sana, kwa sababu watu wanamuona anakwenda shimoni lakini atarudi vizuri, nyota yake ni mapacha, mapacha asili yake ni upepo na upepo uko flexible, huwezi kupumua bila hewa, namtabiria Ommy ataibuka sana, na wale waliokuwa wanamsemea vibaya watashangaa”, amesema Maalim yahaya.

Sambamba na utabiri huo, Maalim Yahaya amewatabiria wasanii wakubwa kufanya vizuri zaidi kwa mwaka huu, hata wale ambao wanachipukia watakuwa zaidi na kuwafunika wale wakubwa.

“Wasanii watapata tuzo hasa wale wakubwa, mfano Alikiba anaonekana atakwenda juu zaidi, Jaydee atakuwa very strong akitoka atatoka vizuri sana, na wasanii wengine”, amesema Maalim Husein.

Mtabiri huyo amesema kwamba mwaka huu licha ya mafanikio watakayoyapata wasanii, pia utakuwa mwaka wa maafa kwao kutokana na kuwa mwaka mgumu.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali