Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Siasa zakwamisha ngoma mpya ya Dogo Janja

Ijumaa , 24th Mar , 2017

Msanii Dogo Janja ‘Janjaro‘ anayetamba na ngoma ya Kidebe amesema hawezi kuachia ngoma yake mpya kama jinsi ambavyo alivyokuwa amepanga kutokana na watanzania wengi kuwa ‘busy’ na masuala ya siasa.

Dogo Janja

Akiwa kwenye heshima ya Planet Bongo Janjaro amesema anafanya muziki wa biashara hivyo haoni sababu ya kutoa kazi mpya katika kipindi ambacho upepo wa kibiashara haujamnyookea.

 “Ukitaka kuuza vitumbua nyako na vikapata soko lazima uuze kipindi cha baridi lakini lazima uwe na chai ya moto, sasa kwa kipindi hiki upepo haujakaa kwenye target yangu maana kila nikiangalia, mara viongozi, huku siasa kwa hiyo nimeona ngoja nitulie nisubiri watanzania wakae sawa” Amesema Janjaro

Aidha Janjaro ameongeza kuwa hana haraka ya kuachia wimbo mpya tofauti na wakongwe wanavyopata ‘presha’ kwa sababu bado anadhani ana miaka mingi katika soko la muziki.

“Mimi bado nina kama miaka 25 ya kuimba muziki na nisipotee kwenye ramani hii, siwezi nikawa na presha kama watu wengine ambao umri umeenda, hata hivyo kwa vile hii ni biashara kila mtu ana target yake ya kuuza biashara yake, ila kwa sababu tayari nimesha ‘shoot’ hadi kichupa sina haraka mambo yatakaa sawa" alimaliza msanii huyo.

Jay Moe

Upepo huu wa siasa pia ulimkumba msanii mkongwe Jay Moe ambaye amelazimika kuachia wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la 'Nisaidie Kushare' wiki iliyopita baada ya kushindwa kuutoa tangu mwanzoni mwa mwezi wa pili kwa kuhofia kufunikwa na kiki za siasa.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa