Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sina mpango wa kujiunga QS - Timbulo

Ijumaa , 24th Mar , 2017

Msanii Timbulo ambaye kwa sasa anatamba na kibao chake kipya kinachokwenda kwa jina la ‘mfuasi’ amesema hawezi kujiunga katika 'Label' ya QS Mhonda kwa kuwa hana imani nayo kama wanafanya biashara ya muziki.

Timbulo

Hayo yamekuja baada ya tetesi zilizoibuka kuwa msanii huyo amekataliwa kuingia katika uongozi wa Mhonda ambao ndiyo ulikuwa unasimamia kazi za Q Chillah hapo awali kabla hawajaingia katika vurumai ya kimkataba.

“Q Chillah ameshawahi kuwa na bendi  amefanya 'show' nyingi sana na watu wanajua hajawahi kufanya kitu chochote cha maajabu, kwa mimi binafsi sidhani kama QS ni menejementi ya muziki”. Alisema Timbulo wakati anahojiwa katika kipindi cha eNewz kutoka EATV.

Aidha msanii huyo amesema anamkubali sana Chillah ingawa kwa sasa siyo yule wa kipindi kile anayemfahamu katika ubora wake, huku akirusha kombora kwa Mhonda na kumwambia hajaona msaada aliyoutoa kwenye kuusogeza muziki wake (Chillah) zaidi ya msaada wa kimaisha ikiwemo kuwapa wasanii nyumba za kuishi na magari yakutembelea.

Kwa upande mwingine msanii huyo amesema ukimya wake katika muziki una faida kubwa kwani asingekuwa na usimamizi mzuri basi sasa hivi naye angekuwa katika kundi la kuutumia dawa za kulevya.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali