Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Single Mtambalike adai siyo kila mzuri aigize

Alhamisi , 28th Nov , 2019

Muigizaji wa filamu nchini, Single Mtambalike, ameibuka na kusema kuwa sio kila mwanamke au mwanaume mwenye muonekano mzuri, lazima aingie katika fani ya uigizaji wa filamu kwa sababu ya kutumia uzuri wake.

Picha ya msanii wa filamu Bongo,Single Mtambalike.

Mtambalike amefunguka hayo kupitia EATV & EA Radio Digital, ambapo amesema uigizaji unahitaji uwezo mkubwa na ujuzi na si muonekano wa mtu.

"Hilo ndilo lililopelekea hadi kufikia hapa sasa kwa sababu watu waliamini kwamba, watu wenye mionekano mizuri wakikaa mbele ya kioo basi filamu itauza au wakikaa mbele ya filamu na kuwa maarufu itafanya vizuri ila kwangu mimi sipo huko huwa naamini katika 'perfomance' na muigizaji yeyote ni kinyago" amesema Single Mtambalike.

Aidha Mtambalike ameongeza kuwa "Kama kinyago chako kikikaa vizuri basi utakuwa unaweza kuuvaa uhusika wowote ule na sio lazima uwe mzuri pia kama utakuwa na uwezo wa kufikiri kwa kumsikiliza na kumuelewa muongozaji alichomaanisha, unaweza ukawa muigizaji mzuri sana" ameongeza.

Pia amesema kuwa ili mtu aigize, lazima afuate misingi na miiko ya fani hiyo na ajue vitu anavyotakiwa kuvifanya na asivyotakiwa kuvifanya.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi