Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Sio lazima uwe shabiki wa Baraka'' - Baraka

Jumatano , 3rd Jul , 2019

Msanii wa muziki wa kizazi hapa nchini Baraka the Prince, amenyoosha maelezo juu ya suala la yeye kushuka kimuziki, na suala zima la mahusiano yake na Naj.

Baraka the Prince

Baraka the prince amesema hayo leo kupitia EATV&EARadio Digital, baada ya mashabiki zake kusema kwa sasa ameshuka kimuziki.

"Binadamu kaongea, kwani mdomo wa binadamu si upo kwa ajili ya kuongea, hao si mabubu wanaweza kuongea chochote na ndio fikra zao na upeo wao ulipoishia. Mtu kama anaona nimeshuka kimpango wake, mimi pia najua navyoishi kimpango wangu, kama unaona nimeshuka wasanii wapo wengi sio lazima uwe shabiki wa Baraka"

Aidha msanii huyo amezungumzia suala la mahusiano yake kwa sasa na ameweka wazi kuwa hataki kusikia mapenzi  baada ya kuulizwa kuhusu aliyekua mpenzi wake Naj.

"Siwezi kuongelea suala la mahusiano, watu waongee kuhusu kazi zangu, watu waongelee kazi za muziki, kama unataka kuuliza kuhusu Naj mtafute mwenyewe umuulize anaweza akawapa jibu, nina mambo mengi ya kuyaongelea sio mapenzi".

Wawili hao wamezua sintofahamu kubwa kwa kila mmoja baada ya kufutiana picha na kila mtu kumu-unfollow mwenzake katika mtandao wa kijamii wa instagram, hali inayonyesha kutokuwa sawa kwa sasa.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi