Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sipendi Hisia akiimba kuhusu mapenzi- Anna Mghwira

Ijumaa , 18th Dec , 2015

Mama mzazi wa msanii Hisia ambaye pia alikuwa mgombea wa kiti cha Urais kupitia chama cha ACT Wazalendo Bi. Anna Mghwira, amesema pamoja na kijana wake huyo kufanya muziki, wanatofautiana katika muziki wake.

Anna Mghwira ameyasema hayo alipokuwa akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio, na kusema kuwa kitendo cha kuandika nyimbo zenye maudhui ya mapenzi, na yeye akitamani mtoto wake huyo atunge nyimbo zenye ujumbe unaolenga jamii ndipo wanapotofautiana.

“Kwanza hapo tunatofautiana mi na yeye kwamba anapenda kuimba nyimbo za mapenzi, mimi sina interest kwanza sionagi kitu kipya kwenye hayo mambo, ye ananiambiaga labda wewe umezeeka, lakini natamani sana aimbe mambo ya maisha zaidi, anapenda kuimba nyimbo za solo, solo nyingi huwa ni mapenzi, sijaona solo ihamishwe ipelewe kwenye mazingira, maji, elimu, ukimwi na vitu vya namna hiyo, vitu ambavyo mimi ningependa mtu aimbe”, alisema Anna Mghwira.

Akizungumzia kipaji cha mtoto wake huyo Anna Mghwira alisema Hisia amepata kipaji hicho toka kwake, kwani kabla ya kuingia kwenye siasa alikuwa anaimba, na kuelezea sababu za mtoto wake huyo kutoonyesha kumsapoti wakati wa kampeni, kama wasanii wengine walivyokuwa wanafanya kwa baadhi ya wagombea wa Urais hapa nchini.

“Mimi binafsi sikuona sababu ya kukatisha mtoto masomo, alafu wasanii wako wengi kama ningetaka kutumia, mi sikutumia msanii, kwa hiyo kama sikutumia wasanii wowote nisingemtumia yeye kunibeba beba tu mimi, kwanza haikuwepo kwenye utaratibu wetu na binafsi sijui kama ningetaka”, alisema Anna Mghwira.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali