
Picha ya msanii Ferooz
Ferooz amefunguka kusema kibongobongo tayari ameshamaliza na hata umaarufu wao ni Original 'Og' na sio umaarufu wa Instagram 'IG' na followers wa wasanii wa sasa ambao Insta ikifa nao wanakufa.
Ferooz anasema wasanii wa sasa wanavimba kusapoti kazi za baadhi ya wasanii wa zamani kwa sababu ya kibiashara na wanawahofia wakiwapa sapoti watakuwa wanawapa nafasi.
Zaidi mtazame hapo chini kwenye video.