Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sister Fay afunguka kuhusu Holly Star

Jumatatu , 15th Apr , 2019

Msanii wa muziki na filamu Bongo, Sister Fay, kwa mara ya kwanza amefunguka ukweli juu ya kinachoendelea kati yake na msanii Holly Star, ambaye wengi waliamini kuwa ni mpenzi wake.

Akifunguka juu ya hilo, Sister Fay amesema kwamba hakuwahi kuwa na mahusiano na Holly Star, bali ilikuwa ni maigizo aliyokuwa akiyafanya, ambayo wengi waliamini ni kweli kutokana na uwezo wake mkubwa wa kuigiza.

Sister Fay amesema kwamba ana uwezo mkubwa sana kwenye kuigiza, na ndio maana alifanikiwa kuwashawishi wengi kuhusu mahusiano yake na holly Star na kuonekana kama kuna ukweli.

Sister Fay anatoa siri 

“Jamani mimi ni msanii, sasa hivi mnatakiwe mjue wasanii tupo, tunaweza kuigiza kitu mpaka mtu akaona ni real. Ile ilikuwa ni sanaa jamani, nafikiri kwa mara ya kwanza naiongea hapa, sikupenda kuiongea mwanzoni kwa sababu niliona ukiiongea mwanzoni siwezi kufikia malengo yangu, ile ilikuwa ni sanaa”, amesema Sister Fay.

Hivi karibuni iliaminika kuwa msanii huyo kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na msanii Holly Star hadi kufikia hatua ya kufunga ndoa, baada ya picha kusambaa mitandaoni wakiwa na mavazi ya harusi.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali