Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sitoacha kukopi- Banana Zorro

Alhamisi , 6th Dec , 2018

Msanii mkongwe wa Bongo Fleva Banana Zorro amefunguka kuwa hatoweza kuacha kupiga kopi kwakuwa wateja wake wengi wanapenda yeye aimbe kopi licha ya wadau kuhoji kwanini amekuwa akiimba aina hiyo ya muziki kwenye maonesho yake.

Msanii, Banana Zorro.

Akiongea kupitia eNewz Banana amesema kuwa wateja wake wengi wamekuwa wakimtaka yeye afanye kopi za baadhi ya wasanii ambazo zinakuwa tayari zilishaimbwa japo kwa upande wake haoni kwamba ni tatizo kwa kuwa yote hiyo ni sanaa.

"Mimi mara nyingi nimekuwa nikiimba kwenye kwenye Balozi ya nchi mbalimbali na mara nyingi unakuta naitwa kwenye balozi mfano nimeitwa ubalozi wa China na unakuta wanataka niimbe nyimbo za china tu, ila naendelea kuwashawishi ili waweze kuelewa miziki yetu na sasa", amesema Banana.

Banana ambaye anatamba na kibao chake cha 'Sitanii' ameongeza kuwa kila mtu ana namna ya kutafuta pesa hivyo yeye anawapigia wazungu na wajerumani hivyo anapiga nyimbo ambazo zitaweza kuendana na mashabiki zake na wale ambao anataka waenjoy kupitia band yake.

HABARI ZAIDI

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu