Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Snura amjibu Shilole "Imeniumiza, namuachia Mungu"

Alhamisi , 6th Aug , 2020

Kufuatia tukio la Shilole kumsema kwenye Tamasha la Girl Power, msanii Snura amesema tukio hilo limemuuma ila amejikaza kwa kushukuru na kumuachia Mungun kumshukuru kwa kilichotokea ili isije kuwa nongwa.

Upande wa kushoto ni msanii Snura, kuli ni Shilole

Akifunguka kuhusu hilo kupitia EATV & EA Radio Digital, Snura amesema hana kinyongo na mtu yeyote na kilichotokea amechukulia kama changamoto japo imemuumiza.

"Nimekaa kimya na kumuachia Mungu maana itakuwa kama nongwa kuliendeleza ikiwa kama watoto wa kike kuongea masuala ya ugomvi muda wote, sina kinyongo na mtu yeyote kilichotokea ni changamoto katika maisha, namuachia mungu maana hakuna shari isiyo na kheri kwa hiyo nikiwekea kinyongo Mungu ananiondolea vizuri na baraka ambazo nilitakiwa nipate, wakati mwingine changamoto inaumiza lakini inakuwa haikukatishi tamaa" amesema Snura 

Shilole alimchana Snura mbele za watu kwenye tamasha la Girl Power baada ya kupigwa na Uchebe kwa kusema hakupendezwa na kauli za Snura baada ya kutokea kwa tukio hilo.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali