Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Stamina afunguka walioiba hela za rambirambi

Ijumaa , 22nd Feb , 2019

Msanii wa hip hop bongo Stamina, amefunguka juu ya watu walioiba pesa za rambirambi za msiba wa Godzilla na kusema kuwa kitendo hicho ni laana huku akiwataja kuwa watakuwa ni wasanii wenzao.

Akizungumza na Big Chawa kwneye Planet Bongo ya East Africa Radio, Stamina amesema kwamba haiwezekani mtu ambaye si msanii akawa ndiye aliyeiba pesa hizo, kwani waliokuwa kwenye kamati na waliokuwa wakishughulikia suala la rambi rambi ni wenyewe wasanii.

"Kupiga hela ya Godzilla ni sawa na laana ambayo sidhani kama itafutika, kwa sababu Zizi alikuwa mwana, ifike time tafuta hela yako babu, mpaka mtu afe ndio utafute hela? Halafu hizi stori wanatuchoresha, kwa sababu 'by any means' walioshiriki ni wasanii, kwa hiyo waliopiga watakuwa ni wasanii, hawezi kuwa eti Juma Abduly wa mtaani huko ndio kapiga, no! Kwenye ile ile kamati aliyepiga ni msanii”, amesema Stamina.

Pia Stamina amewageukia watu walio hack acount ya Godzilla ya Instagrama na kusema kwamba kufanya hivyo sio kitu cha kiungwana na ujinga, kwani acount hiyo ingekuwa kumbukumbu kubwa kwa wenzake na hata kwa mtoto wake aliyemuacha.

Huo ni ujinga ambao nimeuona, sio kizazi babu, akaunti ya marehemu unachukuaje! Kwani ukiiacha inakuwa nini, si unaiacha tu. Watu hawajui, zile caption ndio kumbukumbu zake, unataka tumkumbuke kwa nini?Yyule mtoto wake unataka tumuoneshe vitu gani, yule anatakiwa aje ajue baba yake alikuwa mtu wa namna gani, akiangalia zile post, ila dah!! Wabongo bwana, wabongo bado sana”, amesema Stamina.

Ikumbukwe kuwa mwezi huu tasnia ya bongo fleva imepata pigo kwa kufiwa na rapper Godzilla, baada ya kuumwa kwa muda mfupi.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali