Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tuache kuzushiana kifo- Odama

Alhamisi , 16th Aug , 2018

Msanii wa filamu nchini, Jennifer Kyaka, maarufu kama 'Odama' amefunguka na kuwataka Watanzania kuacha kuishi na vinyongo moyoni mwao, na badala yake wanapaswa kuzungumza moja kwa moja na muhusika wa jambo linalowakwaza ili kulipatia ufumbuzi.

Msanii wa filamu nchini, Jennifer Kyaka, maarufu kama 'Odama'

Odama ametoa kauli hiyo leo asubuhi, wakati alipokuwa anazungumza na tofuti ya www.eatv.tv ikiwa imepita siku moja tangu msanii huyo kuzushiwa taarifa ya kifo kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii hadi mwisho wa siku kumfikia yeye mwenyewe taarifa hizo.

"Hakuna sababu ya kuendelea kuishi na vinyongo, kwa sababu mtu kama huyo aliyenitendea mimi huo ubaya anaishi na kinyongo. Pia hakuna sababu za msingi za kuombeana kifo licha ya kuwa binadamu sote tutakufa kwa nyakati zilizopangwa. Sijaenda kushtaki popote pale hadi dakiki hii ila ninajua kitu gani nitafanya kuhusiana na mtu huyo," amesema Odama.

Pamoja na hayo, Odama ameendelea na kusema "nashindwa kuelewa ni kwanini huyo mtu amenifanyia hivyo kwa sababu sina kumbukumbu ya ugomvi na mtu yeyote yule ambao upo 'serious' kiasi hicho. Kiukweli kwa mara ya kwanza nilipoiona hiyo taarifa ya kifo kwenye 'group' za 'Whatsapp' niliishiwa nguvu kabisa, hata ya kuendesha gari nikashindwa na nikaegesha pembeni yaani siwezi kuelezea hisia zilizokuwa zimenijia wakati huo".

Hii ni mara ya kwanza kwa muigizaji Odama kuzushiwa kwamba amefariki dunia kwenye mitandao ya kijamii hadi kupelekea kuchanganya watu wake wa karibu, marafiki, ndugu na mashabiki zake mbalimbali wanaofuatilia kazi zake za sanaa.

Msikilize hapa chini Odama mwenye kwa kauli yake akielezea kwa kina jinsi alivyopokea taarifa hiyo ya msiba wake wakati yeye mwenye bado akiwa hai akidunda na kupumua vyema hewa ya muumba.

HABARI ZAIDI

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea