Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ukiniona na Baghdad andaa mbavu zako - Roma

Jumatano , 18th Jan , 2017

Rapa Roma Mkatoliki ambaye sasa anafanya vyema na wimbo wake 'Usimsahau mchizi' amefunguka na kusema siku zote ukimuona yeye amefanya kazi na Rapa Baghdad basi unachotakiwa ni kuandaa mbavu zako.

Roma na Baghdad

Roma Mkatoliki alisema hayo kupitia kipindi cha Planet Bongo na kudai siku zote wanatoa ngoma kwa lengo ya kuwafurahisha watu, wanatoa ngoma kwa lengo la kufanya watu wacheke na kupunguza stress ndiyo maana kazi hizo wanatoa kila mwezi wa kumi na mbili kipindi ambacho watu wengi wapo likizo.

"Siku zote ukiona Roma na Baghdad wamefanya kazi unachotakiwa kuandaa mbavu zako tu kwani tunafanya kazi kwa lengo la kufurahisha watu, kufanya watu wacheke ndiyo maana kazi zetu za pamoja tunatoa Desemba kipindi ambacho watu wapo likizo lengo watu wafurahi na kupunguza stress za kazi za mwaka mzima" alisema Roma Mkatoliki.

Mbali na hilo Roma Mkatoliki alizungumzia kitendo cha baadhi ya mashabiki kuwachana baada ya kufanya muziki aina ya singeli kwenye wimbo wao wa 'K', Roma anadai kuwa muziki hauna mipaka hivyo mashabiki hawapaswi kumuwekea msanii mipaka ya kufanya kazi, bali msanii anapaswa kuwa huru na kufanya muziki aina yoyote.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa