Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ukweli toka kwa Wakili, Uchebe Jela miaka mitano

Alhamisi , 9th Jul , 2020

Gumzo za taarifa za kupigwa kwa Shilole kutoka kwa mume wake Uchebe zimekuwa nyingi kuanzia kwenye vyombo vya habari, haki za binadamu "HRC", mitandaoni, mastaa, wafanyabiashara na baadhi ya viongozi wa kisiasa.

Msanii Shilole upande wa kulia, kushoto ni Uchebe

Kupitia EATV & EA Radio Digital tunaangalia upande wa kisheria kuhusiana na tukio hili la ukatili kwenye ndoa au mahusiano yoyote, na Wakili Jebra Kambole amefananua kwa kusema hukumu ya kesi kama hii huenda ikawa ni kifungo cha miaka mitano jela.

"Katika mtazamo wa kisheria kuna mambo manne yanayojitokeza kwanza ni kukiukwa kwa haki za msingi za binaadam kwa sababu kila mtu ana haki ya kuwa huru, kuishi na kutopigwa kwa namna hiyo, pili mke na mume wanaweza kutendeana makosa ya jinai na sheria imetoa muongozo kwenye eneo hilo

"Ni kosa la jinai kumdhuru au kumjeruhi mtu hata kama ni mkeo, mumeo au mtoto, sheria ya makosa ya Jinai sura ya namba 16, kifungu namba 240 na 241 kinajinaisha kosa la namna hiyo na ikitokea limetendeka mahakama inaweza ikatoa adhabu ya miaka mitano kama endapo kosa hilo limetoa madhara kwenye mwili wa mtu" ameongea Wakili Jebra Kambole 

Zaidi tazama akieleza kwa kina zaidi hapa chini kwenye video.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali