Jumamosi , 24th Jul , 2021

Rapa Chidi Benz King Kong ameshea utabiri wake kuelekea mechi ya Fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) kati ya Simba na Yanga utakaochezwa siku ya Julai 25 Mkoani Kigoma, kwa kusema angependa timu yake ya Yanga ishinde mchezo huo.

Kulia ni Chidi Benz, kushoto ni wachezaji wa Simba na Yanga Miquissone na Kisinda

"Mungu ajaalie mchezo uishe salama na ushindi upatikane hasa kwa sisi Yanga, nakuwaga muoga sana kutabiri vitu kama hivi ila nasubiri kuona itakuaje, mnajua mkishakuwa washindani ukishamfunga mwezio kwa mara ya kwanza unakua na faida ya kumfunga tena mechi ya pili" ameeleza Chidi Benz 

Zaidi mtazame hapo chini kwenye video akizungumzia hilo.