Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Uwoya kufunga ndoa kwa mara ya tatu

Alhamisi , 20th Jun , 2019

Mlimbwende kutoka kiwanda cha 'Bongo Movie' Irene Uwoya anatarajia kufunga ndoa hivi karibuni lakini katika hali isiyokuwa ya kawaida amesema hatohitaji mchango wowote kutoka kwa mtu yeyote zaidi ya ushirikiano.

Uwoya akiwa na Dogo Janja (kushoto) pamoja na marehemu Ndikumana kulia.

Kwa mujibu wa chanzo cha karibu na Uwoya kimesema kuwa mwanadada huyo ni kweli ameanzisha kikundi cha 'Whatsapp' na kusema dhamira yake hiyo lakini kutoa kauli ya kusisitiza kwamba hahitaji mchango wowote bali ni ushirikiano tu katika jambo hilo.

"Ni kweli hilo group lipo na amesema kama ulivyosikia hahitaji mchango wowote bali ni ushirikiano tu kutoka kwa wanatasnia, kitu ambacho tumeona sio kibaya ni jambo jema maana ameridhia mwenyewe na sio kwamba tumeshindwa kumchangia", kimesema chanzo hicho. 

Muigizaji Irene Uwoya akifunga ndoa hiyo itakuwa ni ya tatu baada ya ile ya kwanza ambayo alifunga mwaka 2007 na kufanikiwa kupata mtoto mmoja ambaye ni Krish na aliyekuwa raia wa Rwanda na mchezaji wa soka marehemu Hamad Ndikumana na nyingine alifunga na msanii wa muziki wa bongo fleva Dogo Janja ambayo imedumu kwa muda mfupi.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi