Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Video Vixen atangaza kuwa mke wa pili wa Barakah

Alhamisi , 23rd Jan , 2020

Video Vixen na mwanamitindo Lecandy, amefunguka na kusema anampenda sana msanii Barakah The Prince, hata kama ana mpenzi wake Najma, yupo tayari kuwa hata mke wa pili.

picha ya msanii Barakah The Prince

Akieleza hayo kwenye show ya eNewz ya East Africa TV, ambayo inakuwa hewani kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa 12:00 jioni, Lecandy amesema yeye na Barakah ni zaidi ya washikaji na anajiamini atakuwa wake.

"Kitu kikubwa ambacho nakiamini katika Dunia hii ukimtafuta mwanaume ambaye ni wa peke yako utakuwa ni uongo maana hakuna, sisi waislamu wanawake tutaolewa watatu au wanne kwa mwanume mmoja, nipo tayari kuwa mke wa pili kama kutakuwa na heshima,upendo na mapenzi popote, naweza kuwa nyumba moja na Najma" ameeleza Lecandy.

Kwa upande wa Barakah The Prince baada ya kusikia taarifa hizo amesema kuwa "Kuwa na mwanamke mwingine tofauti na Najma nitamuona ni chizi, kwa sababu sina mpenzi zaidi ya huyo ila huwezi kukataza watu kupenda kwa kuwa mimi ni maarufu japo wengine wana matamanio ya kibinadamu".

Pia amesema mwanamke huyo amefanya naye kazi, katika video ya wimbo wake mpya ambao anatarajia kuuachia siku za hivi karibuni

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali