Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Vita ya Meek Mill na Nick Minaj yafikia pabaya

Alhamisi , 6th Feb , 2020

Kama umekuwa mfuatialiaji mzuri wa mitandao ya kijamii ya Instagram na Twitter, utagundua kuwa kuna bifu kati ya wapenzi wa zamani ambao ni Meek Mill na Nick Minaj.

Pichani ni Meek Mill na Nick Minaj enzi za mahusiano yao

Wawili hao wameiteka mitandao ya kijamii baada ya kurushiana maneno, ambapo Nick Minaj alianza kupost picha za zamani za Meek Mill kwenye insta story, huku akimshtumu kumuogopa kwa sababu ya kupiga wanawake.

"Umempiga Dada yako hadi ukafungwa, ukanipiga na mimi mbele ya Mama yako mzazi kisha ukatupeleka hospitali, unapiga hadi wanawake nakuogopa wewe mwanaume, umekuwa unamfuatilia mwanaume wangu kwa mwaka sasa kwenye mitandao ila amekublock, najua unaona aibu" ameandika Nick Minaj.

Baada ya post hiyo muda mfupi baadaye Meek Mill alimjibu kupitia mtandao wa Twitter ambapo ameandika  "Kwa ufafanuzi zaidi sijawahi kumpiga mwanamke, njia pekee ambayo utaweza kuiua kazi yangu ukisema napiga wanawake, mzungumziye Kaka yako ambaye amefungwa kwa makosa ya kubaka na amembaka mtoto mdogo kabisa, na kila mtu anakujua sasa kwamba wewe ni mtu mbaya".

Wawili hao waliwahi kuwa kwenye mahusiano kwa miaka miwili kuanzia 2015 hadi 2017, na habari zao za kutukanana mitandaoni zimeripotiwa na vyombo vikubwa vya habari nchini Marekani na duniani kwa ujumla.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa