Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Wanaume hamnielewi, mimi si mgumu" - Frida Aman

Jumatatu , 29th Apr , 2019

Msanii wa muziki wa rap Bongo, mwanadada Frida Aman amesema pamoja na kujituma kwa kucheza kama mwanamke kwenye nyimbo zake lakini bado wanaume wameshindwa kumuelewa.

Frida Aman

Frida amesema kuwa wanaume wengi wanahisi si mwanamke mlaini ambaye wanaweza kumfikia na kuanzisha naye mahusiano.

Akipiga stori na eNewz ya EATV, Frida amesema familia yake wote wameokoka na yeye pia ni mwokovu japo watu wengi wanamuangalia kwa jicho lingine na kumuwekea mambo mengi katika maisha yake ya kila siku wakati kuna baadhi ya vitu ambavyo hawezi kufanya kabisha kutokana na imani ya dini yake.

"Siwezi kufanya aina ya muziki anaoufanya rapa mwenzangu Rosa Ree na naamini hata Rosa hawezi kufanya aina ya muziki ninaoufanya mimi kwa kuwa tunatofautiana katika sanaa zetu na kila mmoja wetu ana aina tofauti ya muziki anaoufanya".

Frida amemalizia kwa kuwaomba mashabiki zake kuendelea kumsapoti katika kazi zake za muziki anazozitoa ambapo kwa sasa ana nyimbo yake mpya inayokwenda kwa jina la 'Pullup' ambayo amemshirikisha rapa chipukizi Gifted, ambayo inafanya vizuri hivi sasa nchini.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali