Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wasanii Afrika Mashariki waomboleza msiba wa Mengi

Alhamisi , 2nd Mei , 2019

Kundi la wasanii wa muziki kutoka nchini Kenya Sauti Sol, limeungana na Afrika nzima kuombeleza msiba wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Dr. Reginald Mengi.

Kushoto ni kundi la Sauti Sol na Mwana FA kulia.

Sauti Sol wameeleza namna ambavyo Afrika imepoteza mtu muhimu aliyesimama kama mtu mwenye maono, mjasiriamali, mwandishi wa vitabu pamoja na baba wa watu wengi kwa namna alivyojitoa kusaidia watu.

''Twajivunia kuwa ulikuwa baba mlezi wa wengi. Pumzika baba. Ndugu zetu wa Tanzania tuko pamoja'' wameandika Sauti Sol.

Pia wameungana na wasanii wenzao wa Tanzania ambao nao wameguswa na msiba huo na kwa pamoja wametoa salamu za rambirambi kwa kueleza msaada wa Dr. Mengi katika kiwanda cha muziki na burudani kwa ujumla.

Wasanii Alikiba, Shetta, Lady Jay Dee, Nandy, Ruby, Fid Q, Billnass, Barnaba pamoja na wengine wengi wameguswa na msiba huku wakitumia mitandao ya kijamii kutuma salamu za rambirambi.

Kwa upande wake msanii Mwana FA ambaye pia ni mjumbe wa Bodi ya Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA), ameeleza haya, ''Ukapumzike kwa amani mzee wetu. Umetekeleza kilichokuleta Duniani,na tumeona. Umeacha alama''.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa