Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Washiriki Dance100% wanaendelea na mafunzo

Jumatano , 31st Aug , 2016

Majaji wa Shindano la Dance100% linaloendeshwa na East Africa Television wanaendelea na shughuli ya kuwafundisha mbinu za kushiriki mashindano katika maeneo ya kambi zao wanazofanyia mazoezi.

Majaji katika shindano la Dance100%

Akizungumza na EATV mratibu wa shindano hilo Bhoke Egina amesema majaji hao wamegawana makundi hayo ambapo majaji huwafuata katika maeneo yao ya mazoezi ili kuweza kuzungumza nao na kuona namna wanavyofanya mazoezi na kuwafundisha na kuwashauri cha kufanya.

“Makundi yote kumi yana ratiba yao na majaji kulingana na namna walivyopangiwa mtu wa kuwafundisha, na zoezi hilo linaendelea vizuri , na mambo wanayofundishwa tutarajie kuyaona Septemba 03 watakapochuana katika nafasi ya nusu fainali” mmesema Bhoke.

Makundi hayo yanasimamiwa na majaji kama ifuatavyo. Jaji Super Nyamwela anasimamia makundi manne , BKK Boys, Tatanisha Crew, D.D.I Crew, na The Heroes Crew.

Jaji Lotus anafundisha makundi matatu: The Quest Crew, Mazabe Powder na Wazawa Crew.

Jaji Khalila anasimamia makundi matatu. Team Makorokocho, J Combat Crew, na Clevers Boys

Matukio yote ya Dance100% na namna makundi yanavyopambania ushindi wa shindano hilo yanaoneshwa na EATV siku ya Jumapili saa moja jioni chini ya udhamini wa Vodacom na Coca- Cola.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini