Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wastara amtaja mbaya wake

Jumatatu , 21st Mei , 2018

Msanii wa muziki wa filamu bongo Wastara Juma amemtaja mtu ambaye yeye amemuita mbaya wake, anayemchafua kwenye mitandao ya kijamii kwa kumtuhumu masuala ambayo hayana ukweli.

Akizungumza na www.eatv.tv, Wastara amesema anajua mtu anayeleta habari za uongo dhidi yake ni Mtanzania anayeishi nchini Marekani Mange Kimambi, na kusema kwamba huenda yeye ana uhakika kuwa hatapata matatizo kama binadamu wengine.

“Hii yote tangu ilipotokea upinzani, mimi nasema mpinzani wangu mkubwa alikuwa Mange, na yeye ndiye ambaye alikuwa anacomnt vibaya na wale waliokuwa wanasuport kwenye acount yake, nadhani hawa hawajahi kupitia matatizo, na siku wakifa watapaa mbinguni, familia zao zikiugua hawata pata matatizo, ndio maana wanakuwa hawana huruma”, amesema Wastara.

Wastara ameendelea kwa kusema kwamba anashangazwa na kitendo cha mwanamke huyo kumuonyesha chuki ilhali hajawahi kumkosea kitu, na kuwataka Watzania kuwa na huruma kwani lichaya kuwa yeye ni binadamu pia ni mama ambaye anahitaji kulea watoto wake.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali