Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Wenzenu mnatukwaza kwelikweli'' - Mwana FA

Jumatatu , 15th Oct , 2018

Mkali wa HipHop Bongo, Mwana FA, amewachana mashabiki wake kuwa wanamkwaza kwelikweli kwa kuandika 'comment' za matangazo kwenye 'post' zake anazoweka kwenye mtandao wa Instagram.

Mwana FA

Kupitia ukurasa wake wa 'Instagram' Mwanafalsa amedondosha ujumbe mzito ambao ameeleza kuwa umetoka rohoni mwake, huku akiambatanisha picha mpya ambazo zinaonesha sio mazingira ya kawaida na kudhaniwa ni 'Location' ya 'video' yake mpya.

 

 

Picha hizo zimemvutia 'producer' wa 'show' kubwa ya muziki nchini, Planet Bongo ya East Africa Radio, Grayson Gideon ambapo moja ameiita kama picha ya siku ya leo huku akiweka wazi kuwa hadhani kama kuna ujio mpya wa msanii huyo kwani hiyo sio dalili ya Mwana FA kuachia ngoma.

Hata hivyo mashabiki wake wamemcharukia staa huyo kwa kumwambia waondio wamemuongezea idadi ya wafuasi mitandaoni, hivyo anavyowazuia kutangaza biashara zao nao wanaweza kuamua kutomfuata na mwisho wa siku hatakuwa na wafuasi.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali