Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Z-Anto aingia mwaka 2017 na nyumba ya 4

Jumatatu , 16th Jan , 2017

Mwanamuziki Z-Anto ambaye aliwahi kufanya vyema katika muziki miaka ya nyuma na kuamua kukaa pembeni huku akifanya biashara zake ameanza vyema mwaka 2017 kwa kujenga nyumba ya nne nje ya kazi yake ya sanaa.

Z-Anto

 

Z-Anto ambaye makazi na shughuli zake za kila siku zipo Kigamboni Dar es Salaam, amefunguka na kusema ameamua kuanza mwaka 2017 kwa kujenga nyumba yake ya nne ambazo amejenga nje ya kazi yake ya muziki na sanaa kiujumla.

"Wiki mbili za mwanzo za mwaka 2017. House namba 4. Mwaka ndivyo tulivyouanza. #Thnxgod nje ya sanaa" aliandika Z Anto 

Z-Anto mwaka kupitia kipindi cha Planet Bongo aliahidi kurudi kwenye muziki na kusema kuwa label mbalimbali kubwa nchini zaidi ya nne zimemfuata ili wafanye kazi na kusema yeye anahitaji kuchanganua ili ajue ni label ipi ambayo inaweza kumpeleka mbali kimuziki na kufikia malengo yake kwenye muziki. 

Hizi ni baadhi ya nyumba zinazomilikiwa na Z-Anto

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi