Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Hata Wabunge wa CCM, wanafukuzwa Bungeni'- Bonnah

Jumapili , 22nd Sep , 2019

Mbunge wa Jimbo la Segerea, Bonnah Kamoli amesema sio Wabunge wa Upinzani pekee, ambao huwa wanafukuzwa Bungeni hata Wabunge wa Chama Cha Mapinduzi huwa wanapelekwa Kamati ya Maadili, lakini wao huwa hawasemi.

Bonnah Kamoli ametoa kauli hiyo wakati akizungumza kwenye kipindi cha Kikaangoni, kinachorushwa kupitia kurasa za Facebook na Youtube za EATV, wakati akijibu swali juu ya kitu gani ambacho kinamkera sana ndani ya Bunge la sasa, linaloongozwa na Spika Ndugai.

Bonnah Kamoli amesema kuwa "sio Wabunge wa Upinzani peke yake ambao wanafukuzwa hata Wabunge wa CCM na wao wanafukuzwa ambao walileta utovu wa nidhamu, na hata Masele aliombewa msamaha kwa sababu alikuwa tayari kuja mbele za watu kuomba radhi"

"Wapo Wabunge wa CCM wanaofukuzwa na wanapelekwa Kamati ya Maadili, lakini sisi si rahisi kuandika kwenye mitandao kuwa tumepelekwa kwenye Kamati ya Maadili, sema wenzetu ni rahisi jamii kujua, kwa sababu huwa wanaandika wasidhani na sisi hatuna matatizo ila tunaheshimu kanuni za chama chetu." amesema Bonnah Kamoli

Katika kipindi hicho Mbunge wa Segerea Bonnah Kamoli amesema anaimani anaweza akawa Rais anayefuata baada ya Rais wa sasa  Magufuli.

Tazama mahojiano kamili hapo chini.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ