Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Joel Lwaga aeleza sababu kutotaja neno Yesu

Jumanne , 22nd Oct , 2019

Muimbaji wa nyimbo za Injili hapa nchini, Joel Lwaga, ameeleza sababu ya waimbaji wa nyimbo za Injili kwa sasa kutotaja neno Yesu kwenye nyimbo zao, japokuwa lengo kubwa ni kumfanya Yesu awe maarufu miongoni mwa wanaomuamini.

 

Lwaga ametoa kauli hiyo, wakati akizungumza kwenye kipindi cha Kikaangoni, kinachorushwa kupitia kurasa za Facebook na Youtube ya East Africa  TV.

"Suala la kutaja jina la Yesu kwenye baadhi ya nyimbo, mimi huwa nataja, unajua maana ya Injili ni habari njema kutoka kwa Yesu na kumfanya  Yesu kuwa maarufu kwenye maisha ya watu, ila kwa upande wangu naimba kile ambacho  roho mtakatifu amenijalia kuimba, hata kama ikitokea haia neno Yesu." amesema Lwaga.

"Kwa mfano sitabaki nilivyo ule ujumbe ni wa kiinabii kabisa nilioneshwa na Mungu, japokuwa wimbo mwanzo mpaka mwisho hakuna neno Yesu, kwa sababu huwa nakuwaga na  ufunuo zaidi ndiyo huwa naweka neno Yesu." ameongeza Joel Lwaga.

Aidha Joel Lwaga amesema, kwenye masuala ya siasa kwa sasa anavutiwa zaidi na Rais wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, kutokana na mambo makubwa anayoyafanya.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri