Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Makonda asimulia alichofanyiwa na Dkt. Mengi

Ijumaa , 12th Apr , 2019

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema kwamba Mwenyekiti wa IPP, Dkt. Reginald Mengi aliwahi kumchangia ada wakati akiwa chuoni, na ndiye tajiri pekee ambaye amewahi kufika chumbani kwake kwenye Chuo alichokua akisoma.

Ameyasema hayo leo kwenye sherehe ya kuwatunza askari waliofanya vizuri kwa Mwaka 2018, akisisitiza kuwa katika kipindi hicho hakuwahi kuwa na ndoto ya kuja kuwa kiongozi.

Paul Makonda pia ameyaomba makampuni ya IPP kuunga mkono Serengeti boys, ili kuweza kutoa hamasa zaidi wa mashabiki ili timu iweze kufuzu mashindano yajayo.

Makonda anasimulia zaidi

 

“Tena wakati huo hata ndoto ya kuja kuwa Mkuu wa Wilaya, Kiongozi Vyuo Vikuu haikuwepo, kwasababu wewe ni mlezi wa hii timu tuunganishe nguvu tuingie Brazil”, amesema Paul Makonda.

Hii leo Jeshi la Polisi limetoa tuzo maalum kwa askari ambao wamefanya vizuri kwa mwaka 2018, tukio ambalo lilihudhuriwa na watu mbali mbali ikiwemo wasanii.

Mzee Meni akiwa na Paul Makonda

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava