Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Afanyiwa sherehe baada ya kupotea kwa miaka 51

Alhamisi , 19th Sep , 2019

Mzee wa miaka 81 aitwaye Francis Muthua Chege, amerudi nyumbani baada ya kupotea kwa miaka 51 akiwaacha mke wake na watoto sita katika kijiji cha Ikumbi nchini Kenya.

Mzee Francis Muthua Chege.

Mzee huyo aliiacha familia yake mwaka 1968 wakati huo akiwa ana umri wa miaka 30 na kutokomea katika misitu ya Mau, ila hakumwambia mke wake na watoto wapi anaelekea.

Baada ya kurudi nyumbani Mzee huyo aliwasimulia watu, ndugu, jamaa na marafiki vitu alivyokuwa anafanya baada ya kutoweka kwa miaka 51.

"Nilikuwa nauza mkaa kisha fedha zote ambazo napata zinatumika kununua pombe. Mke wangu wa pili na mtoto wetu wa kiume walishindwa kuvumilia tabia yangu na wakaamua kuodoka. Niliishi katika masikitiko makubwa na hata kuhofia kurejea nyumbani mikono mitupu," amesimulia Francis Muthua Chege.

Ameongeza kusema alikuwa hana hata nauli ya kurudi kijijini kwao ndipo alipoenda katika kituo cha polisi kuomba msaada kupata nauli kurudi kijijini alipotoka.

Baada ya kurejea kijijini kwao wanafamilia waliandaa karamu fupi ya chakula na vinywaji wakisheherekea tukio la kurudi kwake baada ya muda mrefu.

Source By Nairobi News.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali