Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Afikia mshindo mara 50 kwa siku

Alhamisi , 17th Jan , 2019

Msichana Amanda Gryce, mkazi wa Florida nchini Marekani, anasumbuliwa na ugonjwa ambao sio wa kawaida, unaomfanya afikie mshindo takriban mara 50 kwa siku, bila ya kufanya tendo la ndoa na mtu yeyote.

Msichana huyo mwenye miaka 22, anasema alianza kugundua ana tatizo hilo akiwa na miaka 6, na amekuwa akikabiliana nalo bila kujua hatma yake ni nini, na amekuwa akikutwa na hali hiyo muda wowote na mahali popote bila kufanya tendo la ndoa.

“Ilitakiwa iwe ni kitu kizuri kama ambavyo inatakiwa, imekuwa maumivu kwangu, kwa sababu inatokea sana,  inaweza ikatokea hata mara 50 kwa siku au mara tano mpaka kumi kwa saa moja, inatokea nikiwa na rafiki zangu, au nikiwa sehemu tu na watu wengine, nikipanda gari ndio inazidi kutokana na mtikisiko wake, ni aibu sana”, amesema Amanda.

Tatizo hilo ambalo mwenyewe anadai limekuwa likimtesa maisha yake yote na kumfanya asifurahie maisha ya kimapenzi, kilimfanya awahi kuwaza kujiua, lakini mpenzi wake Stuart Triplett, amekuwa akimpa ushirikiano sana wa kutafuta tiba na kumfanya awe na tumaini.

Kutokana na hali hiyo, Amanda ameshakutana na baadhi ya madaktari kujaribu kupata tiba, lakini mpaka sasa hajapata ufumbuzi kutokana na ugonjwa huo kutokuwa na tiba ya moja kwa moja, hivyo kumpa njia mbadala za kukabliana nao, ikiwemo kufanya mazoezi.

Tatizo hilo kitaalamu linajulikana kama 'Persistent Genital Arousal Disorder'ambalo hutokea mara chache sana kwa binadamu. Mpaka sasa haujajulikana tiba sahihi ya kuweza kumaliza tatizo hilo, lakini madaktari wa masuala hayo wameshauri iwapo mtu atagundulika kuwa na tatizo hilo, atatakiwa kuhudhuruia tiba ya mwili 'Physiotherapy'.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi