Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Agundua kuishi bila sehemu za siri kwa miaka 17

Jumanne , 7th Jan , 2020

Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Julian Peters (29), amesema aligundua anaishi bila kuwa na mfumo wa uzazi wa mwanamke, wakati akiwa na umri wa miaka 17.

Picha ya mwanamke huyo asiyekuwa na sehemu za uzazi

Mwanamke huyo amesema anaishi bila ya uke, kizazi na mfuko wa uzazi kama walivyo wanawake wengine na ameshahangaika katika hospitali ili kutatua tatizo hilo ila kwa bahati mbaya ameambiwa amezaliwa hivyo bila ya kuwa na mfumo wa uzazi wa mwanamke.

Julian Peters amesema ameelewa na amekubaliana na hali hiyo, japokuwa jamii hufikiria vibaya na kuhusisha jambo hilo na imani za kishirikina au kutuhumiwa tatizo hilo limekuja baada ya kutoa mimba.

Akizungumzia suala la mahusiano na hali yake ilivyo amesema  "Kwa hali yangu, nipo tayari kwa chochote na nipo tayari kuwa na yeyote atakayetaka, pia kwa yeyote atayetaka kuondoka kuwa kwenye mahusiano na mimi namuacha aende."

Aidha Julian Peters amewashauri wanawake wengine, wenye hali kama yake kwa kusema wajipende wenyewe na wajue kama Mungu anawapenda sana, na jamii isiwalazimishe kujua kitu gani kilichowakuta kwenye maisha yao.

Source Tuko News.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa