Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Alichoambiwa Ferouz wakati akipewa gari na Mkapa

Ijumaa , 24th Jul , 2020

Msanii wa BongoFleva Ferouz ambaye alitunzwa gari aina ya Jeep mwaka 2005 na aliyekuwa Rais wa awamu ya tatu Benjamin William Mkapa, amesema amepokea kwa masikitiko na huzuni kubwa taarifa za kifo cha Rais huyo.

Akizungumza na EATV & EA Radio Digital Ferouz ameeleza jinsi ambavyo Rais Mstaafu Benjamin Mkapa alivyompa gari na mchango wake kwenye muziki wa BongoFleva.

"Kifo cha Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa kimenihuzunisha sana, mtu ambaye alikuwa na mchango mkubwa kwangu na ukizingatia wimbo wangu wa starehe yeye ndiyo alifanya niuandike, alisema muziki wa BongoFleva unapendwa na kusikilizwa kwanini wasanii tusiimbe nyimbo zinazoelimisha jamii au afya"

"Akasema angependa wasanii waelimishe kuhusu janga la Ukimwi, kwahiyo maneno yake yakaniingia nikasema naweza nikafanya hicho kitu, nikaitoa na kuiandika vizuri ngoma ya starehe mwisho wa siku yeye mwenyewe akaupenda  ule wimbo ndiyo akanipa zawadi ya gari la Jeep mwaka 2005" ameongeza Ferouz

Bonyeza hapa kutazama Ferouz akimzungumzia Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Benjamin William Mkapa.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa