Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Aliyejifungua watoto 9 aonesha sura zao

Jumatatu , 25th Oct , 2021

Mwanamke raia wa Mali, Halima Cisse,(26) ambaye mwezi Mei alijifungua watoto tisa kwa mkupuo mmoja ameonesha sura za watoto wake hao ambao watano ni wa kike na wanne wa kiume.

Watoto pacha wa Halima Cisse

Mwanamke huyo alijifungua katika kliniki ya Ain Borja Mjini Casablanca, Morocco, ambapo watoto wake hao waliwekwa kwenye mashine maalumu ya uangalizi hadi mwezi Agosti walipotolewa.

Halima na mume wake Kader Arby, (35) wamesema japo ni furaha kuwana watoto lakini bado wanawaza namna ambavyo wataweza kujiopanga kimaisha ili kuweza kuwalea pacha hao tisa na mwenzao mmoja ambao ni jumla ya watoto 10, licha ya serikali ya Mali kuwasaidia kulipa gharama za hospitalini.

Watoto hao pacha walizaliwa na uzito tofauti tofauti ambapo wengine walikuwa na kilogramu 0.5 na wengine kuwa na kilogramu moja na walizaliwa kwa msaada wa uangalizi wa madaktari 30.

Inadaiwa kuwa Halima Cisse amevunja rekodi iliyokuwa inashikiliwa na Nadya Suleman ambaye alizaa watoto wanane mwaka 2009.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ