Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Anafurahishwa na mzimu kuliko mpenzi wake

Jumapili , 31st Mar , 2019

Mwanamke mmoja kutoka nchini Uingereza, aitwaye Amethyst Realm ameweka wazi kuwa amewahi kufanya mapenzi na zaidi ya mizimu 20.

Amethyst Realm.

Akizungumza katika Kipindi cha Televisheni cha 'This Morning' cha ITV ya Uingereza anasema kuwa kisa hicho kilianza Mwaka 2005 akiwa na miaka 15 ambapo yeye pamoja na familia yake walipohamia katika Nyumba mpya na baada ya siku chache akaanza kuhisi mtu anamshikashika usiku lakini hamuoni.

Hali hiyo ilipelekea hadi kufanya nae mapenzi, na iliendelea kumtokea kwa miaka mingi.

Anasema hali hiyo ilianza kama nguvu fulani hivi inayompapasa, baadaye akawa anaona kabisa anahemewa mihemo maeneo ya shingoni na kushikwashikwa sehemu za mwili wake usiku bila ya kumuona anayefanya hivyo na baadae wanafanya mapenzi.

Amethyst ameendelea kusimulia kuwa hali hiyo iliendelea hadi siku moja alipokwenda kwa mpenzi wake. Mpenzi wake alipokua akirudi nyumbani usiku alikutana na kivuli kinakimbia, hali iliyomfanya kuhisi kuwa mpenzi wake alikuwa akimsaliti na mwanaume mwingine ndani.

"Nilimwambia mpenzi wangu asihangaike kumfatilia kwasababu asingeweza kumpata kwakua hakua mtu wa kawaida bali ulikua ni mzimu, na baada ya kusema hayo akabeba mizigo yake akawa ameniacha", anasimulia Amethyst.

"Mzimu hauwezi nitoa out siwezi kwenda nao popote lakini raha niliyokuwa naipata sijawahi pata kwa mwanaume yeyote, nilikuwa na enjoy sana na ninapata usingizi mzuri naota ndoto nzuri pia, kuna muda nageuzwa style tofauti kabisa", ameongeza Amethyst .

"Wakati wa tendo nahisi miguso na raha ya ajabu huku anaenifanya simuoni na kuna muda hua nashangaa nageuzwa kabisa kufanyishwa mapenzi kwa staili tofauti tofauti" - Amethyst .

Amethyst amesema kuwa amefanya hivyo kwa muda mrefu sana na mizimu zaidi 20 tofauti na hadi alipobeba ujauzito Mwaka 2017 na aliridhia kuendelea na uhusiano mpaka mzimu huo ulipotoweka wenyewe.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali