Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Aunt Sadaka atoa neno mjadala wa wana Twitter

Jumatano , 3rd Mar , 2021

Mshauri wa malezi, mahusiano na ndoa Aunt Sadaka, amesema kuwa ili kuepusha migogoro kati ya Mama mkwe na mkwewe wa kike ni kuhakikisha kila mtu anaheshimu mipaka yake na kwamba kila mmoja wao anayonafasi kubwa kwa huyo kijana wa kiume.

Mshauri wa malezi, mahusiano na ndoa, Aunt Sadaka

Hayo ameyazungumza hii leo Machi 3, 2021, kufuatia mjadala ulioibuka mitandaoni siku za hivi karibuni ulioonesha misigano inayotokea pale kijana wa kiume anapoamua kuoa na kuanzisha familia huku mama yake mzazi akionesha kuingilia hiyo ndoa ama kutoelewana na mke wa kijana wake.

"Heshima hailazimishwi wewe huna sababu ya kuniheshimu mimi kama sikuheshimu wewe, kila mtu ajue mipaka yake umeolewa kwa mwanangu una mipaka yako kama mtoto na mimi mama nina mipaka yangu kama mama, unajua jambo ambalo tunashindwa kulielewa na kulikubali ni kwamba mimi Mama siwezi kuwa mke kwa mtoto wangu na wewe mke huwezi kuwa Mama kwa mtoto wangu," amesema Aunt Sadaka. 

Aidha Aunt Sadaka ameongeza kuwa "Kila mtu ana nguvu yake, wewe kama mke una nguvu ambayo mimi kama mama siwezi kuwa nayo hata siku moja kwa mtoto wangu na wewe mke huwezi kuwa na nguvu niliyonayo mimi mama kwa mtoto wangu, mimi nitakuheshimu wewe kama mke wa mtoto wangu na wewe ni lazima uniheshimu kwa vitu viwili kwanza nimekuzidi umri na wewe umekuja umeolewa kwangu".

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma